JINA LA STORY:MACHOZI YANGU
MTUNZI: ESTER MWAKABONGA
SEHEMU YA 1
Leyla ni mtoto aliyezaliwa katika familia ambayo baba yake na mama yake
wote wanauwezo hivyo waliweza kumudu kumuhudumia mtoto wao kwa kila
k2,maisha yalibadilika pale ambapo baba mzazi wa mtoto huyo alipofariki
na kumuacha mtoto huyo mikononi mwa mama yake.Mama yake alifukuzwa ndani
ya nyumba waliyokuwa wakikakaa pamoja na mtoto wake mkononi,tabu na
matatizo na visa viliendelea kwan ilifikia kipindi
mama yake alipofukuzwa kazi bila kosa lake kulijua,leila alikuwa ni
mtoto mzuri sana na alipendwa na kila mtu aliyemuona,shida ikaja pale
ambapo mjomba wake leila alimchukua kwa ajili ya kuenda kumlea na hapo
ndipo mtoto huyo alipoona maisha kwake yamekuwa machungu kwan shangazi
yake akumpenda kabisa na hivyo kumfanyia visa vilivyopelekea leila akiwa
darasa la nne kwenda mahakamani kutoa ushahidi. Je Leila alienda kutoa
ushahidi wa nini na ni kisa gan kilichofanya akaenda mahakamani? uckose
kesho mchana sehemu ya pili?
No comments:
Post a Comment